Mwokozi wangu, nakuhitaji zaidi,
Na moyo wangu, unalia uwepo wako,
Nimejaribu on my own, lakini siwezi,
Nakutegemea, usiniache kamwe.
Nikiwa bado napumua,
Jina lako ndilo nitajivunia,
Tena sitaki kitu cha kunikataza,
Kuwa chombo chako.
Sauti yako ikaniita,
Vingine vyote mimi kakataa,
Nifiche ndani ya mabawa yako,
Nifike mwisho wa safari.
Najua kwamba mimi ni wako,
Unanipenda tena sana,
Nuru yako imenitoa gizani,
Sitaogopa kamwe.
Najua kwamba mimi ni wako,
Unanipenda tena sana,
Nuru yako imenitoa gizani,
Sitaogopa kamwe.
Nitawale sasa, na hata milele Bwana,
Overpower all of me, the way you truly desire,
Natamani kuongozwa,
Na Mkono wako Wenye nguvu.
Breath your Fresh Air into my heart
Amen! Amen! Amen!
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo Yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Ee Mungu nitumikishe,
Katika faida za mbingu,
Nisimamie vizuri,
Ufalme wako ndani ya ulimwengu.
Nijaze nguvu nipambane,
Udhaifu wangu uondoe,
Nidharau mishale ya machungu,
Adui anayonipiga.
Hawa wanataja magari,
Wengine wanataja mafarasi,
Bali sisi tunalitaja,
Hilo jina la Bwana.
Hawa wanataja magari,
Wengine wanataja mafarasi,
Bali sisi tunalitaja,
Hilo jina la Bwana.
Hawa wanataja magari,
Wengine wanataja mafarasi,
Bali sisi tunalitaja,
Hilo jina la Bwana.
Hawa wanataja magari,
Wengine wanataja mafarasi,
Bali sisi tunalitaja,
Hilo jina la Bwana.
Nitawale sasa, na hata milele Bwana,
Overpower all of me, the way you truly desire,
Natamani kuongozwa,
Na Mkono wako Wenye nguvu.
Breath your Fresh Air into my heart
Amen! Amen! Amen!
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo Yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Nitawale sasa, na hata milele Bwana,
Overpower all of me, the way you truly desire,
Natamani kuongozwa,
Na Mkono wako Wenye nguvu.
Breath your Fresh Air into my heart
Amen! Amen! Amen!
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo Yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Najua kwamba mimi ni wako,
Unanipenda tena Sana,
Nuru yako imenitoa gizani,
Sitaogopa kamwe.
Najua kwamba mimi ni wako,
Unanipenda tena Sana,
Nuru yako imenitoa gizani,
Sitaogopa kamwe.
Najua kwamba mimi ni wako,
Unanipenda tena Sana,
Nuru yako imenitoa gizani,
Sitaogopa kamwe.
Najua kwamba mimi ni wako,
Unanipenda tena Sana,
Nuru yako imenitoa gizani,
Sitaogopa kamwe.
Najua kwamba mimi ni wako,
Unanipenda tena Sana,
Nuru yako imenitoa gizani,
Sitaogopa kamwe.
Sitaogopa kamwe,
Bonde la mauti,
Sitaogopa kamwe,
Sitaogopa kamwe,
Kwenye shimo la simba,
Sitaogopa kamwe,
Katika giza tupu,
Sitaogopa kamwe,
Ndani ya bahari kuu,
Sitaogopa kamwe,
Sitaogopa kamwe,
Nitawale sasa, na hata milele Bwana,
Overpower all of me, the way you truly desire,
Natamani kuongozwa,
Na Mkono wako Wenye nguvu,
Breath your Fresh Air into my heart,
Amen! Amen! Amen!
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo Yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Nitawale sasa, na hata milele Bwana,
Overpower all of me, the way you truly desire,
Natamani kuongozwa,
Na Mkono wako Wenye nguvu,
Breath your Fresh Air into my heart,
Amen! Amen! Amen!
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo Yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Yebo yebo Jesu, Yebo yebo Jesu (Yes yes, Jesus)
Yebo yebo, ngidinga wena! (Yes yes , I need You)
Najua kwamba mimi ni wako lyricsNitawale LyricsNitawale Sasa na Hata Milele LyricsRwandaSwahili Gospel LyricsVestine and DorcasYeboYebo LyricsYes JesusYes Lord

The song is amazing!