Nimesulubiwa nae, lakini mi niko hai;
Si mimi tena, Kristo ndani yangu
Nitajisifia udhaifu wangu, kwa furaha nyingi
Ili uweza wake ukae juu yangu
Yote nitendayo ni kwa imani,
Sitaibatili neema ya Mungu
kamwe
Yanitosha neema ya Mungu
Ndio uzima kuyatambuwa
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Yanitosha neema ya Mungu
Ndio uzima kuyatambuwa
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Yanitosha Neema ya Mungu
Ndio Uzima kuyatambua
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Yanitosha Neema ya Mungu
Ndio Uzima kuyatambua
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Yote nitendayo ni kwa imani,
Sitaibatili neema ya Mungu
kamwe
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Yanitosha Neema ya Mungu
Ndio Uzima kuyatambua
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
No comment