Yanitosha Lyrics by Israel Mbonyi

Nimesulubiwa nae, lakini mi niko hai;
Si mimi tena, Kristo ndani yangu
Nitajisifia udhaifu wangu, kwa furaha nyingi
Ili uweza wake ukae juu yangu

Yote nitendayo ni kwa imani,
Sitaibatili neema ya Mungu
kamwe

Yanitosha neema ya Mungu
Ndio uzima kuyatambuwa
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Yanitosha neema ya Mungu
Ndio uzima kuyatambuwa
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake, Zatiimiya.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.
Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Yanitosha Neema ya Mungu
Ndio Uzima kuyatambua
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia

Yanitosha Neema ya Mungu
Ndio Uzima kuyatambua
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia

Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia

Yote nitendayo ni kwa imani,
Sitaibatili neema ya Mungu
kamwe

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena ,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Sio mimi Tena,
Christo Ndani yangu
Hayo Yanitosha.

Yanitosha Neema ya Mungu
Ndio Uzima kuyatambua
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia

Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia

Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia
Kwenye mapungufu yangu
Ndipo nguvu zake zatimia

285 Views

You may also like ...

No comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: The Content is protected !!