Omba utapewa , tafuta utapata bisha utafunguliwa, asema bwana
Yeye ni mwaminifu, ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha! Bisha utafunguliwa,
Omba utapewa , tafuta utapata bisha utafunguliwa, asema bwana
Yeye ni mwaminifu, ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha! Bisha utafunguliwa
Yeye ni mwaminifu,Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Yeye ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Paulo na Sila, pale gerezani,
Usiku wa manane, waliomba na kusifu,
Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka.
Paulo na Sila, pale gerezani,
Usiku wa manane, waliomba na kusifu,
Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka.
Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika ,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka,
Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika ,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka ,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.
Back to the Roots of WorshipBisha Bisha LyricsBisha Bisha Lyrics by Dr. Sarah K & Shachah TeamDr. Sarah K & Shachah TeamSarah KShachah TeamTuesday Worship Moments

No comment