Bisha Bisha Lyrics by Dr. Sarah K & Shachah Team

Omba utapewa , tafuta utapata bisha utafunguliwa, asema bwana
Yeye ni mwaminifu, ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha! Bisha utafunguliwa,

Omba utapewa , tafuta utapata bisha utafunguliwa, asema bwana
Yeye ni mwaminifu, ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha! Bisha utafunguliwa
Yeye ni mwaminifu,Ameshasema anafanya

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Yeye ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Paulo na Sila, pale gerezani,
Usiku wa manane, waliomba na kusifu,
Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka.

Paulo na Sila, pale gerezani,
Usiku wa manane, waliomba na kusifu,
Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka.

Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika ,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka,
Ghafla! Nchi ikatetemeka, gereza likatingika ,
Minyororo ikakatika, milango ikafunguka ,

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha ufunguliwe,
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Usikate tamaa,
Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa

Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa

Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa

Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

Mungu ni mwaminifu
Ameshasema anafanya
Bisha! Bisha! Bisha! Bisha!
Bisha utafunguliwa.

13 Views

You may also like ...

No comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: The Content is protected !!